Wagner Ribeiro.,mmoja wa wawakilishi wa Neymar, amedai Paris Saint-Germain walikuwa tayari kutumia € 190million toka Barcelona katika dirisha la usajiri lililopita.
PSG walitaka kumpa Neymar mkataba ambao ungemwezesha kuvuna
€767,000 (£650,000) kwa wiki,kwa mjibu wa Ribeiro,lakini Barcelona waliikataa ofa hiyo na badala yake wakamshawishi Neymar kusaini mkataba mpya wa miaka 5.
"Alikuwa karibu sana na kujiunga na PSG. angeweza kupokea € 40m kwa mwaka [baada ya kodi]. PSG walikuwa tayari kulipa € 190m."alisema Wagner Ribeiro.
"Neymar alikuwa pia karibu kuhamia Manchester United. Lakini akachagua kusaini mkataba mpya na Barcelona kwa fedha pungufu, kwa sababu alitaka kubaki katika Barcelona."
Lakini PSG walikanusha madai ya Ribeiro,wakisema ni uongo mtupu.
PSG walitaka kumpa Neymar mkataba ambao ungemwezesha kuvuna
€767,000 (£650,000) kwa wiki,kwa mjibu wa Ribeiro,lakini Barcelona waliikataa ofa hiyo na badala yake wakamshawishi Neymar kusaini mkataba mpya wa miaka 5.
"Alikuwa karibu sana na kujiunga na PSG. angeweza kupokea € 40m kwa mwaka [baada ya kodi]. PSG walikuwa tayari kulipa € 190m."alisema Wagner Ribeiro.
"Neymar alikuwa pia karibu kuhamia Manchester United. Lakini akachagua kusaini mkataba mpya na Barcelona kwa fedha pungufu, kwa sababu alitaka kubaki katika Barcelona."
Lakini PSG walikanusha madai ya Ribeiro,wakisema ni uongo mtupu.
ConversionConversion EmoticonEmoticon