PSG walitaka kumpa Neymar mkataba ambao ungemwezesha kuvuna €767,000
(£650,000) kwa wiki,kwa mjibu wa Ribeiro,lakini Barcelona waliikataa
ofa hiyo na badala yake wakamshawishi Neymar kusaini mkataba mpya wa
miaka 5.SOMA ZAIDI
BARCELONA KUMKOSA MESSI KWA MDA WA WIKI 3+
Kama vile haitoshi,Kiungo mahiri wa Barcelona,Sergio Busquets
alilazimika kutoka uwanjani na nafasi yake kuchukuliwa na Andre
Gomes,mara baada ya kuumia.Kutoka kwa wachezaji hao wawili
muhimu,lilikuwa pigo kwa Barcelona kwani Atletico hawakukawia kurudisha
goli dakika chache tu baada ya magwiji hao kufanyiwa Madadiliko ya
Lazima.SOMA ZAIDI
1 comments:
Write commentsGOOD
ReplyConversionConversion EmoticonEmoticon